Baada ya kutamba Sana na kibao cha Vaccine msanii Simorix The General au Jenerali @simorixthegeneral Mtanzania mwenye makazi yake nchini Australia ametangaza ujio mpya wa Remix wa ngoma yake ya…
Simorix The General au Jenerali @simorixthegeneral ndo jina la Mtanzania mwenye makazi yake nchini Australia lilioongelewa zaidi nchini Kenya leo na kushika trending namba 1 na 3 kwenye twitter kutokana…
Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini DPP, amemfutia mashtaka yote ya Uhujumu Uchumi na Ugaidi Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu katika Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Makosa ya…
Mataifa 141 yamepiga kura kuunga mkono azimio la kuitaka Urusi kusimamisha mara moja mashambulizi nchini Ukraine na kuyaondoa majeshi yake yote. Mataifa matano tu ndiyo yameunga mkono Urusi ambayo ni…
Sasa kupatikana kwenye kifurushi cha chini cha DStvSerikali, Wasanii watoa neno Chaneli maarufu ya Maisha magic Movies imetangaza neema kwa wazalishaji wa filamu hapa nchini baada ya kuongeza idadi ya…
NA. Abel Paul wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha ACP JUSTINE MASEJO amesema tarehe Tarehe 01.03.2022 muda wa 06:30 mchana huko maeneo ya…
Mtoto wa Rais Yoweri Museveni wa Uganda, Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ameelezea kuunga mkono uvamizi wa Urusi nchini Ukraine uliofanywa na Rais Putin. Jenerali Kainerugaba ambaye ni kamanda wa majeshi…
Kampuni ya simu za mkononi ya itel imeachia smartphone mpya inayotoka kwenye kizazi cha “A” Series ambayo ni A58. Taarifa rasmi iliyotoka ndani ya kampuni hiyo ni kwamba simu hiyo…