-
AIR TANZANIA NA AIR INDIA ZAUNGANA
Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) imeingia makubaliano na Air India ambapo pamoja na mambo mengine abiria anayetumia mashirika hayo ataweza ... -
MILIPUKO YA VOLCANO INDONESIA
Milipuko miwili imetokea katika Volkano ya Merapi, iliyoko kwenye Kisiwa cha Java cha Indonesia. Katika taarifa iliyotolewa na Kituo cha ... -
JESHI LA POLISI WAVAMIA BUNGE LA GHANA
Vikosi vya usalama nchini Ghana vimevamia bunge siku ya Jumatano kufuatia ghasia zilizoibuka kati ya chama tawala na chama kikuu ... -
MAMIA YA MADAKTARI KENYA WAFUKUZWA
Mamlaka ya Kenya mjini Mombasa imewafukuza mamia ya madaktari akiwemo mwenyekiti wa umoja wa madaktari katika kaunti hiyo. Kwa mujibu ... -
WASAFI TV YAFUNGIWA MIEZI 6
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imeifungia Televisheni ya Wasafi Tv kutoa huduma kwa muda wa miezi 6 kuanzia Januari 6 ... -
BILIONEA JACK MA APOTEA
Bilionea wa China, Jack Ma ambaye ni mmliki wa kampuni kubwa ya biashara duniani ya Alibaba Group inasemekana hajulikani alipo ... -
LOCKDOWN ZIMBABWE
Serikali ya Zimbabwe imesitisha shughuli za maisha ya kawaida kote Nchini humo kufuatia kuongezeka kwa maambukizi ya Virusi vya Corona ... -
UBAROZI WA UFARANSA, UHOLANZI UJERUMANI NA UMOJA WA ULAYA KUWASHIKA MKONO WASANII WAKIKE
UBAROZI WA UFARANSA, UHOLANZI UJERUMANI NA UMOJA WA ULAYA KUWASHIKA MKONO WASANII WAKIKE Kuelekea siku ya maadhimisho ya unyanyasaji wa ... -
MWANAFUNZI KIDATO CHA PILI AKUTWA AMEUAWA MWANZA
Mtoto aitwaye Vincent Renatus mwenye miaka 17 anayesoma kidato cha pili jijini Mwanza, amekutwa ameuawa katika chumba alichokuwa akiishi na ... -
TAKUKURU YAREJESHA MILLION 11 ALIZOLIPWA MAREHEMU
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Dodoma imefanikiwa kurejesha Serikalini zaidi ya Milioni 11 ambazo zililipwa ... -
HALIMA MDEE, HATUONDOKI CHADEMA
Aliekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), Halima James Mdee amesema, yeye pamoja na wenzake 18 hawatoondoka ndani ... -
TANI 122 ZA MCHELE ZAANGAMIZWA
Jumla ya tani 112 za mchele wa basmati zimeteketezwa na mamlaka ya udhibiti na usalama wa dawa na chakula baada ... -
NCC,ELIMU YA UKIMWI KWA WAFANYAKAZI WETU NI ENDELEVU
Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) na Ukimwi, Baraza la Taifa la ... -
SERIKALI YATAKA WALIOHUJUMU MALI ZA USHIRIKA KURUDISHA KWA HIARI
Serikali imewataka watu wote waliohujumu mali za vyama vya ushirika kujisalimisha na kurudisha malihizo kwa hiari kabla ya kuchukuliwa hatua ... -
BENKI YA CRDB, UWEZESHAJI WA WANAWAKE MWANZA
Benki ya CRDB yaendesha Kongamano La Uwezeshaji Kwa Wanawake Mwanza Meneja Wa Kanda Crdb Bw.Lusingi Sita Akitoa Neno La Ufunguzi ... -
MSANII ZUCHU BALOZI MPYA WA BIDHAA ZA TRIDEA COSMETICS
Msanii Zuchu akizungumza na Waandishi wa Habari Kampuni ya vipodozi ya Tridea Cosmetics, inayo furaha kumtangaza kuingia makubaliano na msanii ... -
-
JPM AMPA WAZIRI MKUU MAJALIWA KAZI YA KWANZA
Kwa idadi programu zilizoanzishwa na Serikali zipo 18, “Nakuagiza Waziri Mkuu hii ikawe kazi yako ya kwanza kushughulikia ikiwezekana baadhi ... -
RAIS MAGUFULI,TUTAENDELEA KUKAZA DEMOKRASIA NA HAKI
“Tutendelea kukuza Demokrasi na Haki, lengo la Demokrasia ni kuleta maendeleo sio fujo, na hakuna isiyo na mipaka, hakuna uhuru ... -
JPM, NAFURAHI SANA KUONA WABUNGE WENGINE NI WASANII
“Tutaendeleza sanaa, nafurahi kuona Wabunge wengine Wasanii wapo Bungeni, nawatakia kila la kheri Taifa Stars kwenye Mechi yao na Tunisia ...